Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Benki ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua sekta ya utalii Zanzibar. Mkataba huo ulisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Fedha kutoka benki ya Exim, Shani Kinswaga pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI), Suleiman Ally, ukishuhudiwa na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrick Soraga



More Stories
Waziri Chana:Wabachama wa Mkataba wa Lusaka wekezeni teknolojia na uvumbuzi
Dkt.Biteko:Tanzania yadhamiria kuendeleza mageuzi ya kidigitali katika elimu
Yas, Mixx waungana na wateja, wadau Kanda ya Ziwa