Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Benki ya Exim imeingia mkataba wa miaka mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la kukuza na kuinua sekta ya utalii Zanzibar. Mkataba huo ulisainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Fedha kutoka benki ya Exim, Shani Kinswaga pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI), Suleiman Ally, ukishuhudiwa na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrick Soraga




More Stories
Mil.80 kujenga stendi ya maloriÂ
MD Twange atoa onyo kwa wezi wa miundombinu ya umeme
WRRB yaanza uimarishaji mfumo stakabadhi za ghala