Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Othman Masoud Othman, jioni ya leo Disemba 23, 2024, amewasili Kisiwani Pemba kwaajili ya Ziara Maalum, inayojumuisha Shughuli za Serikali, Chama na jamii.

Katika Uwanja wa Ndege wa Pemba, Mheshimiwa Othman amepokelewa na Viongozi mbali mbali wa Serikali, Chama, na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Ndugu Rashid Hadid, pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake, Bi. Mgeni Khatib Yahya.


More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Naibu Waziri Nderiananga awasilisha salamu za pole msiba wa mdogo wake Lukuvi
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni