Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, Cde. Mohammed Ali Kawaida amefika wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza kumfariji, Kheri James ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini aliyefiwa na baba yake mzazi Desemba 03 mwaka huu.

Mwenyekiti Kawaida akiwa nyumbani hapo amesaini kitabu cha maombolezo na kuhani msiba leo tarehe 09 Desemba 2024.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Pumzika kwa Amani mzee wetu.


More Stories
TMDA yajivunia kuanzisha mfumo thabiti wa udhibiti wa vifaa tiba na vitendanishi
Kikwete kuungana na marais watatu kushiriki Kongamano la nane la viongozi Afrika
Katavi yazindua kampeni kukabiliana na udumavu