




Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo – IFAD wanaosimamia Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi (AFDP) katika ukumbi wa Ofisi hiyo leo 12 Septemba, 2024 Jijini Dodoma.
More Stories
Serikali kutoa Elimu ya mitaala mipya
Waliopata ufaulu wa juu kidato Cha sita mchepuo wa sayansi kupata ufadhili
Maelfu wajitokeza kuaga mwili wa Hayati Cleopa Msuya