Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo – IFAD wanaosimamia Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi (AFDP) katika ukumbi wa Ofisi hiyo leo 12 Septemba, 2024 Jijini Dodoma.
More Stories
Uboreshaji hospitali, kumepunguza rufaa kwa wagonjwa
DC Mpogolo atangaza kiama wasio rudisha Bil.17 za Halmashauri
Watumishi TASAF washiriki Mkutano wa Ufuatiliaji na Tathimini Zanzibar