Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Michael A. Battle Agosti 14, 2024 ametembelea TRA na kufanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda katika ofisi za TRA Makao Makuu jijini, Dar es Salaam.
Katika mazungumzo yao Kamishna Mkuu alimuhakikishia Balozi huyo kuendeleza ushirikiano Kati ya TRA na wawekezaji wa Marekani na wa nchi nyingine pamoja na kuzitafutia ufumbuzi changamoto za kikodi ambazo wawekezaji kutoka marekani wanakumbana nazo ili waendelee kuwekeza Tanzania na kuinua uchumi wa nchi.







More Stories
Dkt.Samia; Meatu mtaendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo nishati
REA yaendelea kusambaza Nishati Bora kwa wananchi,yamshukuru Rais Dkt.Samia
Vivo Energy Tanzania, yazindua Kampeni ya “Uliza Oili ya Shell”