Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amefika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Ismani mkoani Iringa.
Lukuvi aliwasili ofisi za chama hicho akiwa ameambatana na mkewe.


More Stories
WRRB yaanza uimarishaji mfumo stakabadhi za ghala
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
TISEZA Songea kuvutia uwekezaji, ajira zaidi zapatikana