Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Iringa.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amefika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Ismani mkoani Iringa.
Lukuvi aliwasili ofisi za chama hicho akiwa ameambatana na mkewe.


More Stories
Serikali yafikia asilimia 90 ya usambazaji umeme Vitongoji Kilimanjaro
Asenga ahoji utaratibu wa kufuata kwa wanaofanya biashara barabarani
Mhandisi Ntemi ahoji upatikanaji gari zimamoto Katoro