WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi na Uvuvi, Luhaga Mpina (pichani juu kushoto) akipokea fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo la Kisesa wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu. kulia ni Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Charles Dotto Mazuri leo Julai 15, 2020


More Stories
Programu ya Mama Samia yarasimisha ujuzi
TCDC kuzindua kampeni kuimarisha Ushirika
TPHPA kung’arisha Mei Mosi Njombe