Na Mwandishi Wetu,Timesmajira Online
SHULE ya Sekondari Kimara, imeibuka kinara baada ya kupata zawadi kwa shule zilizofanya vizuri Manispaa ya Ubungo, jijini Dar es Salaam.
Hafla ya utoaji wa tuzo hizo zimefanyika leo, katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.
Afisa Elimu wa Manispaa hiyo, elimu ya Sekondari Vista Mgina ambaye alimwakilisha
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa, ametoa tuzo kwa shule zilizofanya Vizuri katika matokeo ya Kidato cha Pili na cha Nne kwa mwaka 2023.
Katika tuzo hizo, Kimara Sekondari imepata tuzo mbili ambapo mshindi wa kwanza Kidato cha pili na mshindi wa Pili kidato cha nne.




More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025