Na Mwandishi wetu timesmajira
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman, leo Jumatatu Machi 25, 2024, ameendelea na ziara Maalum ya kuwatembelea na kuwajulia-hali, Wagonjwa na Wazee mbali mbali wasiojiweza.

Katika ziara hiyo pia ametoa mkono wa pole kwa Wafiwa wa maeneo mbali mbali ya Mkoa wa Mjini Unguja Kichama.



More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025