Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo amejumuika na viongozi na wananchi mbalimbali katika misa Takatifu ya kumwombea Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.
Misa inafanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mt. Yohana Maria Muzeyi, wilayani Chato mkoani Geita.
More Stories
Absa Dar City waunga mkono juhudi za Serikali uboreshaji Afya
Ndejembi atoa onyo kwa waajiri wasiowasilisha michango ya wafanyakazi wao NSSF
PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasilisha nyaraka kidijitali