
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online
MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya NBC Yanga wamepangiwa na timu ya Mamelodi Sundowns, huku Simaba wakipangiwa na vigogo Al Ahly kutoka Misri katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya klabu bingwa barani Afrika ambapo Simba na Yanga zote zitaanzia nyumbani katika michezo ya mkondo wa kwanza kati ya tarehe 29-31 Machi 2024.
More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025