





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiendesha kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhakiki na mustakabali wa kutafuta na kumuweka Kiongozi Mpya wa Zanzibar ambacho hufanyika kila baada ya miaka (kushoto) Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan na (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma (Mabodi).
More Stories
Bodi ya Wadhamini TANAPA yataka kasi zaidi ukamilishaji Miundombuni ya Utalii Mikumi
Yas yatoa huduma bure matibabu ya macho Tanga
Boshe:ALF imekutana kutambua Maendeleo Endelevu ya Bara la afrika