Na Jackline Martin, TimesMajira Online
Leo Katibu wa NEC, Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, ametembelea Kaburi la Hayati Rais John Pombe Magufuli.
Hii ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa iliyoanza Novemba 9 mwaka huu.
Post Views: 294
More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka