NSSF wanatarajia kuwa na kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kwa uratibu wa ofisi ya msajili wa Hazina
Kikao hicho kitafanyika kesho tarehe 25 Septemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Pia Kikao hicho kitaanza saa 3: 00 asubuhi.
Post Views: 234
More Stories
STAMICO yajinasibu kukusanya bilioni 4.1 kwa mwezi
Wakazi Uvinza waahidi kura za kishindo kwa Samia
VAR kutumika Ligi Kuu Tanzania msimu ujao