Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt, Samia Suluhu Hassan leo August 07, 2023 amewasili Uwanja wa Ndege wa Songwe kwaajili ya kushiriki maadhimisho ya Siku ya wakulima (Nanenane) yatakayofanyika Siku ya Kesho August 08 Mkoani Mbeya.
Baada ya kuwasili Samia amepokelewa na kusalimiana na Viongozi mbalimbali waliojitokeza Uwanjani hapo kwaajili ya kumpokea.

Maonyesho ya Siku ya Wakulima Nanenane kwa mwaka 2023 yameambatana na kauli mbiu isemayo “Vijana na Wanawake ni msingi imara wa mfumo endelevu wa chakula”.

More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025