Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
WAZIRI wa Maji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Profesa Makame Mbarawa amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar.
Profesa Mbarawa amechukua fomu leo asubuhi katika Ofisi Kuu ya CCM Zanzibar Kisiwandui, ambako alikabidhiwa fomu na Katibu wa Oganaizesheni wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Galous Nyimbo.
Profesa Mbarawa ambaye pia amehudumu uwaziri katika Serikali ya Awamu ya Nne, anakuwa mwanachama wa 10 wa CCM kuchukua fomu tangu zoezi lilipoanza Jumatatu wiki hii


More Stories
Yas Business,FTCC wawajengea uwezo Wajasiriamali
Ziara ya Rais Samia Urusi yaleta fursa mpya
Msigwa:Kiwango uchumi wa kujitegemea kimeongezeka nchini