Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka akimkabidhi Kamishna wa Maadili , Jaji Mstaafu Harold Nsekela Taarifa ya Mwaka ya Msajili wa Hazina kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019. Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika Ofisi ya Msajili wa Hazina wakati wa kikao cha pamoja kilichojadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya ofisi hizo.
More Stories
Hakuna chama cha mbadala wa CCM
Prof.Muhongo awakaribisha wadau kuchangia ujenzi maabara masomo ya Sayansi
Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini