Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an