Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha
More Stories
Bilioni 190 kuimarisha mafunzo ya ufundi stadi
Makongoro aielekeza Halmashauri ya Nkasi hoja za kufanyiwa kazi haraka
Zaidi ya bilioni 10.5 zatumika kutekeleza miradi ya maendeleo Kata ya EndiamtuÂ