Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Taifa letu siku ya Alhamisi, tarehe 22 Disemba 2022 linatengeneza historia mpya: Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anakwenda kuzindua rasmi zoezi la kuanza kujaza maji kwenye bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 78.
Ndoto na matarajio makubwa ya watanzania yaanza kutimia.Fuatilia tukio hili la kihistoria kweye vyombo vyote vya Habari 22 Disemba 2022 mubashara kutoka Rufiji.

More Stories
Serikali inatambua uwepo wa Watumishi wachapa kazi na uweledi
DED Mweli:Tumeweka kipaumbele kusikiliza kero za wananchi
CHAKUWAHATA wawagusa wanafunzi wa kike