Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online

NIC Insurance imedhamini na kushiriki Mbio za Korosho Marathon ili kuchangia kufanikisha upatikanaji wa fedha ambazo zitaenda kununulia mashine za kubangulia korosho kwa wabanguaji wadogo ikiwa ni sehemu ya sera ya NIC kurudisha katika jamii ambapo katika mbio hizo.

Mgeni Rasmi alikua Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack.

More Stories
Katibu Mwenezi Wilaya ya Mkuranga Omari Kisatu atoa maelekezo mazito
Masandawana Fc yajinyakulia mil.10/- Tulia Trust Uyole Cup 2026
EMS yapanua wigo utoaji huduma kidigitali