Na Penina Malundo,TimesMajira Online
MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) Selemani Zedi, amesema Kamati ya LAAC imeteuliwa jana na Spika wa Bunge Job Ndugai yeye kuwa miongoni mwa wajumbe wa kamati hiyo.

Amesema wajumbe wa kamati hiyo wameanza kupewa mafunzo ya wiki moja ya kuwajengea uwezo ili kuweze kusimamia matumizi ya rasilimali za umma zinazopelekwa kwenye Halmashauri zote 185 Tanzania.
Amesema kwa mujibu wa majukumu yao kikanuni,watahakikisha rasilimali za umma zinazopelekwa halmashauri zinatumika kama zilivyokusudiwa,na matumizi yote yanafanyika kwa mujibu wa sheria ya fedha ya Serikali za Mitaa.
More Stories
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya