Na Mwandishi wetu,TimesMajira,Online
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Mbagala kuu.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Act-wazalendo, Zitto Kabwe anatarajia kuzindua kampeni hizo,leo katika viwanja vya kibasila mtaa wa Mbagala Kuu Kaskazini kuanzia majira ya saa nane mchana.
Uchaguzi huo unafanyika katika kata hiyo baada ya Aliyekuwa Diwani kata ya Mbagala Kuu Shabani Othman Abubakari (CCM)Â kufariki dunia.
More Stories
Wanachi wahimizwa kusajili biashara,majina ya kampuni BRELA
Bunge lapitisha muswada wa Sheria za kazi,wanaojifungua watoto njiti waongezwa likizo ya uzazi
GreenFaith yatoa mapendekezo yake mkutano wa mission 300 kwa Wakuu wa nchi,Serikali za Afrika