Na Mwandishi wetu,TimesMajira,Online
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Mbagala kuu.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Act-wazalendo, Zitto Kabwe anatarajia kuzindua kampeni hizo,leo katika viwanja vya kibasila mtaa wa Mbagala Kuu Kaskazini kuanzia majira ya saa nane mchana.
Uchaguzi huo unafanyika katika kata hiyo baada ya Aliyekuwa Diwani kata ya Mbagala Kuu Shabani Othman Abubakari (CCM)Â kufariki dunia.
More Stories
Kapinga:Serikali inaboresha miundombinu ya umeme kibiti kuondoa changamoto ya umeme
Miaka 50 ya TET, waanza kupanda miti
Mwili wa Hayati Msuya wawasili Uwanja wa Ndege wa (KIA)