Na Mwandishi wetu,TimesMajira,Online
CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kuzindua kampeni zake za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Mbagala kuu.
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Act-wazalendo, Zitto Kabwe anatarajia kuzindua kampeni hizo,leo katika viwanja vya kibasila mtaa wa Mbagala Kuu Kaskazini kuanzia majira ya saa nane mchana.
Uchaguzi huo unafanyika katika kata hiyo baada ya Aliyekuwa Diwani kata ya Mbagala Kuu Shabani Othman Abubakari (CCM)Â kufariki dunia.
More Stories
Kanisa la Shincheonji la Yesu nchini Ufaransa lakanusha ripoti ya Le Parisie
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka