Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Balozi Donald J. Wright M.D (kushoto) akijadiliana jambo na Mtaalamu wa kutengeneza macho bandia, Rehema Semindu (kushoto) wakati wa ziara yake ndefu aliyoifanya hospitalini hapo siku ya Jumanne wiki hii. Katikati ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Hospital ya CCBRT, Brenda. Katika ziara hiyo, Balozi huyo wa Marekani alitembelea vitengo mbalimbali pamoja na jengo jipya litakalo hudumia watoto na akina mama wenye ujauzito hatarishi. Aliambatana pia na Sophia Nur – Mkurugenzi Mshirika wa Mawasilianona Sera – CDC, Gene Peuse – Mshauri Mwandamizi wa Ubia- USAID Tanzania na Carrie Cafaro – Mkuu wa Utekelezaji wa Programu – Vodafone USAID. Afisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi (wa pili kulia) akimkaribisha Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Balozi Donald J. Wright M.D ambaye alifanya ziara ndefu ya kujionea kazi kubwa ambayo inafanywa na hospital hiyo sambamba na kutembelea vitengo mbalimbali pamoja na jengo jipya litakalo hudumia watoto na akina mama wenye ujauzito hatarishi. Katika ziara hiyo, Balozi Wright aliambatana na Sophia Nur – Mkurugenzi Mshirika wa Mawasilianona Sera – CDC, Gene Peuse – Mshauri Mwandamizi wa Ubia- USAID Tanzania na Carrie Cafaro – Mkuu wa Utekelezaji wa Programu – Vodafone USAID. Post Views: 536 Continue Reading Previous What Women Require in a MatrimonyNext Serikali na mkakati wa kuimarisha mazao ya kilimo More Stories 1 min read Habari Watendaji viongozi wa vijiji waonywa kutoa vitambulisho vya nida kwa wageni,Ileje April 30, 2024 zena chitwanga 2 min read Habari Barabara ya kibada-mwasonga -Kimbiji kujengwa kwa kiwango cha lami April 30, 2024 Jackline Mkota 1 min read Habari Wadau waombwa kujitokeza kusaidia waathirika wa mafuriko April 30, 2024 Judith Ferdnand
More Stories
Watendaji viongozi wa vijiji waonywa kutoa vitambulisho vya nida kwa wageni,Ileje
Barabara ya kibada-mwasonga -Kimbiji kujengwa kwa kiwango cha lami
Wadau waombwa kujitokeza kusaidia waathirika wa mafuriko