Spika wa Bunge, Job Ndugai, (wapili kutoka kushoto) akiwa na ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) nyumbani kwake mjini Dodoma. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi wa TADB, Ishmael Kasekwa, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Frank Nyabundege, na Mkurugenzi wa Fedha wa TADB, Derick Lugemala. Ndugai alimpongeza, Nyabundege kwa kuteuliwa hivi karibuni kushika nafasi hiyo na kuahidi ushirikiano wa Bunge kwa benki hiyo katika kuendeleza sekta ya kilimo, ufugaji na uvuvi nchini. Na mpiga picha wetu.
More Stories
PURA yaendelea kunadi vitalu 26 vya gesi asilia,mafuta
Wanawake wametakiwa kuhakikisha wanampa kura za heshima
Maadhimisho miaka 30 ya VETA kufanyika Dar