MSANII wa filamu na Mjasiriamali hapa nchini Jacqueline Wolper amesema, hakuna kitu kizuri kama wivu kwenye uhusiano wa kimapenzi, kwani ndiyo unaoleta hamasa.
Amesema, ukimuona mtu kwenye mapenzi hamuonei wivu mwenzake ujue mapenzi hakuna, ndio maana yeye ameona wivu ni muhimu sana kwake.
“Wivu kwangu ni muhimu sana, bila ya hivyo naona kama hakuna mapenzi vile, maana raha uulizwe uko wapi, uko na nani, nitaku peleka hakuna kwenda mwenyewe, hayo ndiyo mambo ya kwenye mapenzi,” amesema Wolper.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”