Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa alipotembelea banda la shirika la Amref Tanzania katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani. Kwa miaka zaidi ya thelathini (30) sasa, shirika la Amref limekuwa likishirikiana na serikali ya Tanzania pamoja na wadau ikiwemo PEPFAR-CDC, USAID pamoja na Global Fund.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mama yake mzazi