Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa alipotembelea banda la shirika la Amref Tanzania katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani. Kwa miaka zaidi ya thelathini (30) sasa, shirika la Amref limekuwa likishirikiana na serikali ya Tanzania pamoja na wadau ikiwemo PEPFAR-CDC, USAID pamoja na Global Fund.
More Stories
Simbachawene:Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji Rasilimaliwatu umebaini upungufu wa watumishi 441,366
Wakazi Arusha watakiwa kuchangamkia fursa huduma jumuishi za kifedha
Wahitimu wa Mafunzo ya Scout Nkasi watakiwa kuwa mwangaza kwa vijana