Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa alipotembelea banda la shirika la Amref Tanzania katika viwanja vya Ilulu mkoani Lindi, katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani. Kwa miaka zaidi ya thelathini (30) sasa, shirika la Amref limekuwa likishirikiana na serikali ya Tanzania pamoja na wadau ikiwemo PEPFAR-CDC, USAID pamoja na Global Fund.
More Stories
Kituo cha mfano Katente chaongeza makusanyo MBOGWE
Elimu ya fedha yawafikia wananchi wa Makanya wilayani Same
Wasira:Uchaguzi Mkuu utafanyika wanaCCM,Wananchi jiandaeni