Afisa Teknolojia ya Mawasiliano kutoka Shirika la Amref Health Africa, Ezra Mfaume akimpa maelezo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalumu Dkt. Doroth Gwajima namna mfumo wa LEAP unavyofanya kazi wakati Waziri alipotembelea maonesho yaliyoandaliwa na Muungano wa Asasi za Kiraia (Mkuki coalition) katika muendelezo wa siku ya wanawake duniani ambapo ameshuhudia bunifu mbalimbali za teknolojia ya mawasiliano zinavyofanya kazi kumsaidia mwanamke katika maeneo mbalimbali.
More Stories
Barrick yaichangia Serikali trilioni 3.6 kwa kipindi cha miaka minne
Bil 51 zachochea kasi ya maendeleo manispaa Tabora
Shaka:Uimara wa Rais Samia ni matokeo chanya unaojali kesho ya nchi