Afisa Teknolojia ya Mawasiliano kutoka Shirika la Amref Health Africa, Ezra Mfaume akimpa maelezo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalumu Dkt. Doroth Gwajima namna mfumo wa LEAP unavyofanya kazi wakati Waziri alipotembelea maonesho yaliyoandaliwa na Muungano wa Asasi za Kiraia (Mkuki coalition) katika muendelezo wa siku ya wanawake duniani ambapo ameshuhudia bunifu mbalimbali za teknolojia ya mawasiliano zinavyofanya kazi kumsaidia mwanamke katika maeneo mbalimbali.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka