Afisa Teknolojia ya Mawasiliano kutoka Shirika la Amref Health Africa, Ezra Mfaume akimpa maelezo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalumu Dkt. Doroth Gwajima namna mfumo wa LEAP unavyofanya kazi wakati Waziri alipotembelea maonesho yaliyoandaliwa na Muungano wa Asasi za Kiraia (Mkuki coalition) katika muendelezo wa siku ya wanawake duniani ambapo ameshuhudia bunifu mbalimbali za teknolojia ya mawasiliano zinavyofanya kazi kumsaidia mwanamke katika maeneo mbalimbali.
More Stories
Waziri Mavunde azindua taarifa ya uchambuzi uongezaji thamani madini muhimu nchini
Mdiwani Bumbuli wataka jitihada ziongezwe ukusanyaji mapato
Mke wa Rais wa Msumbiji,Gueta atembelea JKCI