Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Washindi 100 wa mtoko wa kibingwa wa BETIKA wamefika katika uwanja wa mkapa jijini Dar es Salaam, kushuhudia Derby ya simba na yanga
Afisa Uhusiano wa kampuni ya BETIKA, Nelson Pius amesema Washindi hao 100 waliotoka katika mikoa mbalimbali na kutua katika uwanja wa ndege jana, ambapo walilala katika Hotel yenye Hadhi ya Nyota 5.

Wachezaji hao walipelekwa uwanjani hapo kwa king’ora ambazo ni moja ya huduma zilizotajwa na BETIKA kwaajili ya wateja wao ambao wamebeti kupitia kampeni ya mtoko wa kibingwa.

Pius amesema mabingwa wa promosheni ya mtoko wa kibingwa kushuhudia mechi hiyo wamekua wakiifanya mara kwa mara huku kila msimu idadi ya mabingwa hao kuongezeka.
More Stories
Bahati Nasibu ya Taifa, Selcom zashirikiana ununuzi wa tiketi
Bahati Nasibu ya Taifa, Vodacom zashirikiana kurahisisha miamala kidijitali
Bahati Nasibu ya Taifa, Shirika la Posta washirikiana