Wasanii mbalimbali wakitumbuiza wakati wa hafla ya chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais John Magufuli maalumu kwa ajili ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM waliotembelea ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Pia Rais Magufuli alitumia fursa hiyo kuwapatanisha Ali Kiba na Diamond Platnumz ambao katika hafla hiyo walikaa meza moja.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
More Stories
Msimu wa nne,tuzo za eagle entertainment, kufanyika kivingine
Rais Dkt. Samia: Tamasha la Taifa Utamaduni kudumisha Muungano
Tamasha la utamaduni mkoani Ruvuma lapamba moto, Rais Samia mgeni rasmi