Na Mary Margwe, TimesMajira Online, Mbulu
Kufuatia kumbukizi hiyo, wananchi wa Mji wa Mbulu, watumishi pamoja na Mkoa kiujumla wamemtakia Mkurugenzi Myenzi maisha marefu yenye upendo, furaha na Amani, ili aweze kuendelea kuwatumikia kikamilifu wananchi wa Mji wa Mbulu.
Hata hivyo mmoja wa wananchi hao Juma Hitler alisema Mkurugenzi huyo amekua ni chachu kubwa ya maendeleo katika Halmashauri hiyo Toka alivyohamia Mbulu akitokea Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, hivyo wanampongeza Kwa kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa Kwa kumtakia maisha marefu huku wakimuombea ili aweze kuendelea kuwatumikia vema wananchi hao na hatimaye kuweza kutumiza malengo aliyokusudia Kwa wananchi wa Mbulu Mjini.
More Stories
Rais Samia aridhishwa na utekelezaji miradi Tanga
Ziara ya Rais Samia yaanza kwa kishindo mkoani Tanga
Gambo: Rais Samia amefanya makubwa Jimbo Arusha Mjini