WANAFUNZI 10 wamepoteza maisha na wengine saba kujeruhiwa baada ya bweni la shule ya msingi ya Byamungu Islam iliyoko mkoani Kagera kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo.

Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika imesema kuwa bweni hilo lilikuwa na wanafunzi 74.
Taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo zitawafikia hivi punde.

More Stories
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni
Notifications: Teknolojia Muhimu Katika Maisha ya Kidijitali
No Reforms, No ElectionsJe, Ni Harakati Halali au Usumbufu wa Kidijitali? Kauli Yachambuliwa