Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amewataka mawakala wa forodha nchini kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na kujiepusha na vitendo vya rushwa.
Ameyasema hayo, alipokutana na wanachama wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFFA) wakiongozwa na Edward Urio Rais wa chama hicho kwa lengo la kusikiliza changamoto zao, kujadilina namna ya kuzitatua na kuboresha huduma za forodha ili kuhakisha wanalipa kodi stahiki na kwa hiyari.

Kikao hicho kilifanyika leo tarehe 01.07.2024 katika ukumbi wa mikutano wa TPA, jijini Dar es Salaam.





More Stories
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi
Aida:Wanawake wakipata haki zote itapunguza migogoro
LGTI wanawake waadhimisha siku yao Ngorongoro