Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete amekabidhi tuzo kwa wadau mbalimbali wa Sekta ya Madini waliofanya vizuri kwenye shughuli za madini kwa mwaka 2021.
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2022/02/WhatsApp-Image-2022-02-24-at-3.26.12-PM-1024x683.jpeg)
Hafla hiyo ya Usiku wa Madini iliyofanyika tarehe 23 Februari, 2022 pia ilipambwa na Maonesho ya bidhaa za mapambo ya madini iliyolenga kuhamasisha shughuli za uongezaji thamani madini ya Vito na Madini mengine ya thamani
More Stories
Dkt.Mpango aagiza mfumo wa NeST utumike kudhibiti ubadhirifu,aipongeza PPRA
Mpogolo ashauri Ilala kutenga bajeti ya mazingira
DC Malisa ataka taarifa mahudhurio ya wanafunzi