Na Penina Malundo, TimesMajira Online, DSM
VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameondoka Ofisi za Makao Makuu wamewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kumpokea Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara) . Tundu Lissu .
Lissu atatua uwanjani hapo saa 7.20 mchana huu. Baada ya kupokelewa JNIA, Makamu Mwenyekiti huyo ataelekea Ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Mtaa wa Ufipa, jijini Dar es Salaam, ambako atazungumza na Waandishi wa Habari.
More Stories
Mgao wa tenda wa 30% kwa makundi Maalum ,wamkosha Rais Samia
Biteko ateta na Mtendaji Mkuu wa Rashal Energies, inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule – Mbagala
Utafiti na Teknolojia matibabu ya magonjwa adimu wasisitizwa