Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) leo tarehe 22 Julai 2023 kimezindua Jukwaa la Majadiliano ya Vyama vya Siasa Wilaya ya Kigoma Mjini kwa minajili ya kukuza, kuimarisha na kudumisha Demokrasia ya siasa ya vyama vingi.

Mradi huu wa kuunda majukwaa ya majadiliano umefadhiliwa na Ubalozi wa Marekani nchini.

Vyama vilivyoshiriki ni pamoja na CCM, CHADEMA, ACT-WAZALENDO, NCCR – Mageuzi pamoja na CUF.
More Stories
Ilemela yatenga milioni 920 kwa ajili ya mikopo ya vikundi
Tabora Network yawezesha vijana kiuchumi
Wanawake watakiwa kutochafuana kuelekea uchaguzi mkuu