Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) leo tarehe 22 Julai 2023 kimezindua Jukwaa la Majadiliano ya Vyama vya Siasa Wilaya ya Kigoma Mjini kwa minajili ya kukuza, kuimarisha na kudumisha Demokrasia ya siasa ya vyama vingi.

Mradi huu wa kuunda majukwaa ya majadiliano umefadhiliwa na Ubalozi wa Marekani nchini.

Vyama vilivyoshiriki ni pamoja na CCM, CHADEMA, ACT-WAZALENDO, NCCR – Mageuzi pamoja na CUF.
More Stories
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025
Yas yazidi kuboresha huduma sekta ya Utalii