Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion Alex Msama ametangaza Tamasha la Pasaka mwaka 2024 linatarajia kuanza kufanyika katika mkoa wa Dar es Salaam siku ya Pasaka tarehe 31 mwezi 3 mwaka 2024
Waimbaji mbali mbali wa muziki wa Injili watashiriki katika Tamasha hili kubwa la Pasaka kwa mwaka 2024.

“Maandalizi makubwa yanaendelea kufanyika, na Tamasha la mwaka huu limekuja na kauli mbiu inayosema ” Amesema Msama

More Stories
Uchorongaji visima vya gesi Mgawara neema kwa Wananchi
Tucta kuzindua kituo cha msaada kwa wafanyakazi wahamiaji Juni 11
Wanasiasa washauriwa kujikita kwenye masuala ya maendeleo