Na Prona Mumwi, TimesMajira Online, Dar es Salaam
Meneja masoko na mawasiliano wa Lake Energies, Matina Mkulu, akimuonesha Mbunge wa Muleba Charles Mwijage na Prof.Anna Tibaijuka akimuonesha bidhaa mbalimbali katika banda lao baada ya kutembelea banda hilo wakati wa Tamasha la Buhaya Festival lililofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Picha na Prona Mumwi


Meneja Masoko na mawasiliano wa Lake Energies, Matina Nkulu, kulia akifafanua jambo mbele ya wateja waliotembelea banda hilo wakati wa Tamasha la Buhaya Festival lililofanyika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Picha na Prona Mumwi


More Stories
NaCoNGO yazindua kikosi kazi cha ukusanyaji maoni
Dkt.Biteko awasili Barbados kunadi nishati safi kimataifa
Jamii yatakia kuacha matumizi hole la ya dawa ili kuepuka kupata ugonjwa wa figo