Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
MUIGIZAJI wa filamu na Mjasiriamali hapa nchini Shamsa Ford amesema, yeye kama mwanamke anajua sana thamani ya mume kutokana na maadili aliyolelewa pindi anapokuwa mke wa mtu.
Akizungumzia hilo kupitia kwenye Ukurasa wake wa Instagram Shamsa amesema, licha ya kutokuwa na shape nzuri, sura pamoja na mwili lakini anajua sana kutafuta maisha ndio maana hawezi kuyumbishwa.
“Naweza nisiwe na shape unayoitaka, sura unayoitaka, umri unaoutaka lakini ninajua maisha, najua kuyatafuta maisha na najua thamani ya mwanaume,” amesema Shamsa.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”