Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 441
More Stories
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya