Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 377
More Stories
EWURA yatangaza bei kikomo za mafuta
Fainali Khimji cup kufanyika Februari 7,2025
Idadi ya wagonjwa wanaohudumiwa hospitali Mnazi Mmoja yaongezeka