Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 456
More Stories
Upanuzi wa Kituo cha Kupoza Umeme Mbagala mbioni kukamilika
EWURA yaombwa kuongeza elimu kuhusu nishati safi ya kupikia
Wizata ya Viwanda yapongezezwa kasi mageuzi kiuchumi