Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline,Dar
RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua, Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji
Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO)
Post Views: 421
More Stories
NaCoNGO yazindua kikosi kazi cha ukusanyaji maoni
Dkt.Biteko awasili Barbados kunadi nishati safi kimataifa
Jamii yatakia kuacha matumizi hole la ya dawa ili kuepuka kupata ugonjwa wa figo