MWENYEKITI wa Chama Cha Mapindizi (CCM), Samia Suluhu Hassan,ambaye pia ni Rais wa Jamhuria ya Muungano wa Tanzania, akifungua semina ya mafunzo kwa ajili ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) leo Unguja , Zanzibar. (Picha na CCM Makao Makuu)
Mafunzo hayo yanafanyika kwa siku mbili ikiwa na lengo la kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe pamoja kuimarisha Chama Cha Mapinduzi.Â










More Stories
Ngozi:Wanawake nchini wanakila sababu ya kumshukuru Rais Samia kutoa nafasi za uongozi kwao
Wataalamu wa ujenzi mfumo wa NeST wanolewa usalama wa mifumo
Mkurugenzi Rapha Group aeleza fursa mashindano Tulia Marathoni