Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na mfanyabiashara na mdau wa utalii Duniani Nicholas Reynolds akiwa na ujumbe aliofuatana nao wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu]
More Stories
Mpogolo aagiza mitaro Kariakoo kuzibuliwa
TCRA, Polisi na mkakati kudhibiti uhalifu mtandaoni Rukwa
Tuzo shindani kuongeza tija sekta ya Maziwa