Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama wakati akitoa maelezo kuhusu Mfumo wa Ufuatiliaji wa mwenendo wa majanga na tahadhari ya mapema (MYDEWETRA) wakatiwalipotembelea katika Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zilizochini yake katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024 Jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam (Sabasaba) yamefunguliwa rasmi leo (Julai 3, 2024) na Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi pamoja na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Post Views: 72 Continue Reading Previous JWTZ kuadhimisha miaka 60 tangu kuasisiwa kwakeNext Vijiji vyote Tanzania Bara kufikiwa na Nishati ya umeme- Kapinga More Stories 3 min read Habari Serikali yathamini mchango wa viongozi wa Dini kwenye maendeleo October 4, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Waziri Jafo awaasa wajumbe Bodi ya FCC kuwa waadilifu, waaminifu October 4, 2024 Jackline Mkota 1 min read Habari Rais Samia: Hatua mpya katika maboresho ya mfumo wa kikodi Tanzania October 4, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Serikali yathamini mchango wa viongozi wa Dini kwenye maendeleo
Waziri Jafo awaasa wajumbe Bodi ya FCC kuwa waadilifu, waaminifu
Rais Samia: Hatua mpya katika maboresho ya mfumo wa kikodi Tanzania