Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakati wakitembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali kabla ya kufungua Rasmi Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki hafla ya ufunguzi wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) tarehe 03 Julai, 2024. Post Views: 38 Continue Reading Previous Watoa huduma watakiwa kutembelea Banda la FCC kupata elimuNext Wananchi Katavi watakiwa kutumia uhuru wa kujieeza kwa maendeleo More Stories 1 min read Habari APC Hotel kutoa fursa za ajira kwa vijana July 7, 2024 Iddy Lugendo 1 min read Habari NBAA yawataka vijana kuchangamkia fursa za uhasibu,ukaguzi July 7, 2024 Iddy Lugendo 2 min read Habari Familia zatakiwa kuwafundisha watoto wa kike kuhusu hedhi salama July 6, 2024 Judith Ferdnand
More Stories
APC Hotel kutoa fursa za ajira kwa vijana
NBAA yawataka vijana kuchangamkia fursa za uhasibu,ukaguzi
Familia zatakiwa kuwafundisha watoto wa kike kuhusu hedhi salama