Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline, China
RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Viongozi wakuu wa Nchi za Afrika na China (FOCAC) katika mkutano unaotarajiwa kuaanza kuanza leo Septemba 4 hadi 6, mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa jana ilieleza kuwa Rais Samia atahutubia ufunguzi wa mkutano wa FOCAC na pia atafanya mazungumzo na Rais China, Mhe. Xi Jinping na kushuhudia uwekaji saini wa Hati za Makubaliano ya Uboreshaji wa Reli ya TAZARA.
Aidha, atakutana na makampuni na wawekezaji kutoka China ili kuhamasisha uwekezaji zaidinchini Tanzania.
More Stories
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo