Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Januari 17,2024 amezindua ofisi ya Chama hicho Tawi la Chaani Masingini iliyopo Mkoa wa Kaskazini Unguja wakati wa Ziara ya Kikazi Visiwani Zanzibar.
Akizungumza wakati wa Uzinduzi huo, Rais Dkt, Samia ametoa wito kwa Wanachama kujiandaa na chaguzi lakini pia kudumisha Umoja na Mshikamano.
Ujenzi Wa ofisi hiyo umegharimu Shilingi Milioni 248 ambapo ndani yake Kuna ofisi za Jumuiya zote za Chama.







More Stories
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya
Kenya,Uganda zaanzisha mradi wa uendelezaji rasilimali za maji Angololo