Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Samia Suluhu Hassan leo August 02,2024 ameanza Ziara ya Kikazi Mkoani Morogoro ambapo mapema asubuhi amezindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo Mkoani humo ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.8.
More Stories
Sekta ya madini yakusanya zaidi ya bil.900 hadi kufikia Mei 15,2025
WCF yawataka waajiri kutekeleza wajibu wao
Airtel yazindua tena maduka mapya Dar