Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Samia Suluhu Hassan leo August 02,2024 ameanza Ziara ya Kikazi Mkoani Morogoro ambapo mapema asubuhi amezindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo Mkoani humo ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.8.
More Stories
Kituo cha afya Kisiwa cha Rukuba chafungiwa umeme jua kurahisisha huduma
Kapinga:Wakandarasi wasimamiwe kutekeleza miradi ya nishati kwa wakati
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi