Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dr. James Peter Mataragio kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati akichukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye uteuzi wake umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine.
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu imeeleza kuwa Dr. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania.

More Stories
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya