Na Mwandishi wetu, Timesmajira
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi akiwasilisha mada kuhusu Usimamizi wa Misingi ya Kitaifa inayojumuisha (Maadili, Miiko, Umoja, Mshikamano na Uzalendo) kupitia sekta ya Utamaduni, Sanaa, na Michezo kwenye sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, katika Kikao kazi cha 15 cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Aprili 23 jijini Dar es Salaam.
” Serikali inahusika na mkataba wa ndoa moja kwa moja, ndio mkataba pekee ambao Serikali inausimamia, kwasababu familia ndio msingi wa raia wa taifa, na hao raia ndio wanakua viongozi, askari wazalendo, na ndio maana serikali inaingilia mkataba huo” amesisitiza prof. Kabudi
Ni siku ya pili ya kikao hiki cha mafundo na mazingativu katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
More Stories
Lulida ataka viwanda vilivyofungwa vifufuliweÂ
WMA yahakiki vipimo asilimia 99 ya lengo
Rais Mwinyi:Tutamuenzi Charles Hilary kwa utendaji wake uliotukuka