Waziri Mkuu wa Zamani, Mizengo Pinda akipata ufafanuzi kutoka kwa mgunduzi wa mita akimuelezea jinsi mita hiyo inavyotoa taarifa pale maji yanamwagika hovyo mtaani na unlipia maji kabla ya kuyatumia wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech) kwenye maonesho ya 46 ya Sabasaba.
More Stories
Mama Samia Legal Aid Campaign yawa mkombozi kwa wananchi Mbeya
Rais Samia aridhishwa na utekelezaji miradi Tanga
Ziara ya Rais Samia yaanza kwa kishindo mkoani Tanga