Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
Kuelekea kilele cha Simba Day Agosti 8 mwaka huu katika uwanja wa Benjamin Mkapa Simba Sc imemtambulisha rasmi staa Nelson Okwa kuwa katika klabu hiyo.

Mchezaji huyo raia wa Nigeria akitokea klabu ya River United ya Nigeria anayecheza nafasi ya kiungo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo.
More Stories
Kasulu FC mabingwa mashindano Khimji 2025
Fainali Khimji cup kufanyika Februari 7,2025
Naibu Waziri wa Fedha abariki ujio mpya wa Bahati Nasibu