Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
Kuelekea kilele cha Simba Day Agosti 8 mwaka huu katika uwanja wa Benjamin Mkapa Simba Sc imemtambulisha rasmi staa Nelson Okwa kuwa katika klabu hiyo.

Mchezaji huyo raia wa Nigeria akitokea klabu ya River United ya Nigeria anayecheza nafasi ya kiungo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo.

More Stories
TFF yatinga na safu tatu mpya
Mkazi Kisarawe ashinda Mil. 100, Kampeni ya ‘Tunasherehekea Pamoja’
Ajinyakulia Mil. 5/- Kampeni ya Yas ‘tunasherehekea mwaka mmoja’